Raisi aliyemaliza Muda wake wa Burundi Honorable Pierre Nkurunziza aaga dunia

Pierre Nkurunziza

Pierre Nkurunziza (* 18 Desemba 1963) ni mwanasiasa kutoka nchini Burundirais wa taifa hilo tangu mwaka 2005.
Pierre Nkurunziza


Rais wa Burundi
Aliingia ofisini 
26 Agosti 2005
Makamu wa RaisMartin Nduwimana
Yves Sahinguvu
Terence SinunguruzaGervais Rufyikiri
mtanguliziDomitien Ndayizeye

tarehe ya kuzaliwa18 Desemba 1963(umri 56)
BujumburaBurundi
chamaBaraza la Kitaifa kwa kutetea demokrasia, Burundi (CNDD-FDD)
ndoaDenise Bucumi
watoto5
mhitimu waChuo Kikuu cha Burundi
diniUkristoUprotestanti
signature
Alikuwa mwenyekiti wa chama cha Baraza la Kitaifa la kutetea demokrasia, Burundi (CNDD-FDD) hadi kuchaguliwa kuwa rais.
Tarehe 13 Mei 2015 kundi la wanajeshi wa nchi walitangaza kupinduliwa kwake,[1] lakini saa chache baadaye wakakamatwa.
Shambulio La moyo

No comments

Powered by Blogger.